Fahari ya Sadaka by Dr A Mmanyi

TZS 10,000.00
In stock
SKU
SplFahari ya Sadaka by Dr A Mmanyi

Fahari Ya Sadaka

Fahari Ya Sadaka by Dr A Mmanyi

 Kitabu cha Mwanzo kinaanza na maneno “Hapo 
mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi”. Ukitaka 
kutoa muktadha wa Kaini na Habili hapo ndipo mahali 
sahihi pakuanzia. Hapakuwa na matukio mengi sana 
yaliyokuwa tayari yametokea ulimwenguni wakati 
habari hii inaandikwa. Kaini na Habili walikuwa 
watoto wa kiume wa kwanza wa wanadamu wa 
kwanza kabisa Adamu na Eva. Hakuna tashwishwi 
kuwa watoto hawa walilelewa katika mazingira ya 
kumjua Mungu.

More Information
Seller DRMMANYIBOOKSTORE
Author Dr Allyson M Mmanyi
Total Pages 76
Publisher Aims (2020) Press
Write Your Own Review
You're reviewing:Fahari ya Sadaka by Dr A Mmanyi
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.