Jahazi Na Mchg Enock E Mlyuka

TZS 10,000.00
In stock
SKU
SplJahazi By Rev Enock E Mlyuka

Jahazi By Rev Enock E Mlyuka

Links

Pamoja na kwamba sisi sote tuwanadamu tulioumbwa kwa mfano wa Mungu,hata hivyo kila mwanadamu ana tabia na hisia zake za kipekee zinazomtambulisha kuwa yeye ni mtu wa aina gani.

Tabia na hisia hizo za kipekee huitwa Haiba kila mwanadamu ameumbwa akiwa na mielekeo fulani,uwezo na udhaifu wa asili wa aina mbalimbali.Baadhi ya watu wamezaliwa wakiwa na mielekeo ya ucheshi, upole, ukali,ukimya, uzungumzaji na kadhalika.Haiba huchangia tofauti ya mitazamo,ufahamu na kuathiri jinsi ya kutenda.

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Author Rev Enock E Mlyuka
Total Pages 200
Publisher Win In Life General Printing Services
Write Your Own Review
You're reviewing:Jahazi Na Mchg Enock E Mlyuka
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.