Mazingira Ya Biblia Agano Jipya

TZS 3,000.00
In stock
SKU
SplMazingira Ya Biblia Agano Jipya

Lengo la kusoma biblia ni kumjua Yesu kiundani. Hii inaweza kutusaidia kufanyika baraka kwa watu wengine.

Mazingira Ya Biblia Agano la Jipya by Rev, Dr. Enock Mlyuka

Mazingira ya biblia kwenye agano jipya

1.Maisha ya agano jipya watu walijishughulisha na biashara, miji ilijengwa kwa uimara na kuimarisha ulinzi mkubwa sana, kibiblia punda ni alama ya unyenyekevu, pia ngamia walikuwa alama ghali sana na pia ni alama ya kumtambulisha mtu na pia ni alama ya uvumilivu.

2.Dini ni jamii ya kuabudu miungu mingi na walilazimishwa kutumia lugha ya kiunani katika kufanya biashara zao.

3.Tamaduni za dini ya kigiriki na kiunani ambayo ina maana ya miungu mingi.

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Write Your Own Review
You're reviewing:Mazingira Ya Biblia Agano Jipya
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.