Mchungaji na Uongozi by Rev Enock E Mlyuka

TZS 10,000.00
In stock
SKU
SplMchungaji na Uongozi by Rev Enock E Mlyuka

Mchungaji na Uongozi by Rev  Enock E Mlyuka

Mchungaji na Uongozi by Rev Enock E Mlyuka

Uongozi ni dhamana.Bila shaka wengi wetu tunafahamu kuwa kiongozi ni mwonesha njia. Lakini kiongozi bora haishii kuonesha njia tu, bali naye 
hupita katika njia anayowaelekeza watu kuipita. Maana yake ni kwamba, lazima kiongozi awe mfano mzuri (role model) kwa wale anaowaongoza. Kiongozi bora anajua fika kuwa yupo kwa ajili na kwa niaba ya watu. Kiongozi anayejua hivyo, anajitambua kuwa yeye ni mtumish(servantleader) kwa anaowaongoza ili kufikia malengo yanayotarajiwa.  John C.Maxwell, anaongeza akisema, uongozi ni ushawishi (leadership is influence). Ni uwezo wa mtu mmoja kuwashawishi wengine ili wamfuate. Anakumbusha kuwa, kila wakati kiongozi akiongoza, ageuke nyuma na kuangalia kama kuna mtu yeyote anayemfuata. Hata hivyo, ikumbukwe kwamba kuna wakati kiongozi ambaye ni mtu wa mabadiliko (dynamic), atalazimika kutembea peke yake kwa muda hadi watu waelewe anataka kufanya nini. 

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Author Rev Enock E Mlyuka
Total Pages 124
Publisher The pathfinder image
Write Your Own Review
You're reviewing:Mchungaji na Uongozi by Rev Enock E Mlyuka
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.