Shughulikia Hofu Na Caleb Mathias

TZS 10,000.00
In stock
SKU
SplShughulikia hofu by Caleb Mathias

Shughulikia hofu hizi ili utimize ndoto zako

Links

Maisha yako yanabadilika au kutokubadilika kwa sababu moja tu ambayo ni ujasiri, na ujasiri huo ni ujasiri wa kuanza kuchukua hatua, ujasiri wa kuvumilia mara baada ya kuchukua hatua na ujasiri wa kumaliza vitu ulivyovianza kuvichukulia hatua. Dawa ya  hofu ya kitu chochote kile ni kuwa na ujasiri wa kuanza, ukiwa na ujasiri wa kuanza hofu itaondoka yenyewe, weka gia ya kuanza kwa ujasiri na hofu itakimbia yenyewe. Fanyia kazi mambo unayoyaogopa au mambo ambayo hauna ujasiri nayo. Ndoto zetu zinaweza kutimia ikiwa tuna ujasiri wa kuzifuata, ujasiri pekee mtu yeyote anaouhitaji ni ujasiri wa kuzifuata ndoto zake mwenyewe. Unaweza kuwa na ndoto ya kuwa mtu fulani lakini kama huna ujasiri wa kufanyia kazi utabakia kama ulivyo. Tunashindwa kuishi maisha tunayoyataka kwa sababu ya hofu, kitu kinachoua ndoto za watu wengi ni hofu. Wengi wetu hatuishi ndoto zetu kwa sababu tunaishi hofu zetu. Hofu ndiyo kikwazo kikubwa cha wewe kushindwa kufikia mafanikio makubwa. Kama 
usipokuwa jasiri utapoteza vitu vingi ambavyo ni haki yako kabisa. 

kitu. 

More Information
Seller CALEBBOOKSTORE
Author Mwl: Caleb
Total Pages 124
Publisher Kiza
Write Your Own Review
You're reviewing:Shughulikia Hofu Na Caleb Mathias
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.