Ufafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 12

TZS 3,000.00
In stock
SKU
SplUfafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 12

Mungu aliangalia moyo wa Ibrahimu hata wakatibwa kujaribiwa bado Ibrahimu alimuamini Mungu.

Ufafanuzi wa kitabu cha Mwanzo 12 by Enock Mlyuka

Maisha na wito wa Abrahamu.Mungu alimchagua Abrahamu kuwa lango la ukombozi kwa wanadamu.Mungu alimbariki Abrahamu kwa mifugo, mali na kumtumikia Mungu kupitia mali zake Mungu alikusudia kupitia Abrahamu litatokea taifa kubwa la kumjua na kumtumikia Mungu. Abrahamu alimuamini Mungu hata pale palipoonekana kibinadamu ni ngumu hata kipindi mkewe alichelewa kupata mtoto na Mungu kumwambia mtoto aliyempata uzeeni amtoe kama sadaka na bado alitii.

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Write Your Own Review
You're reviewing:Ufafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 12
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.