Ufafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 13

TZS 3,000.00
In stock
SKU
SplUfafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 13

Mgororowa kwanza wa kifamilia kati ya Ruth na Abrahamu yaani baba na mtoto aliyemlea.

Ufafanuzi wa kitabu cha Mwanzo 13 by Enock Mlyuka

Maisha na witi wa Abarahamu Mungu alimchagua Abrahamu kuwa lango la ukombozi kwa wanadamu, Mungu alimbariki Abrahamu kwa mifugo, mali na kumtumikia Mungu kupitia mali zake Mungu alikuaudia kupitia Abrahamu litatokea taifa kubwa la kumjua na kumtumikia Mungu. Abrahamu alimuamini Mungu hata pale palipoonekana kibinadamu ni ngumu hata kipindi mkewe alichelewa kupata mtoto na Mungu kumwambia mtoto aliyempata uzeeniamtoe kama sadaka na bado alitii.

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Write Your Own Review
You're reviewing:Ufafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 13
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.