Ufafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 14

TZS 3,000.00
In stock
SKU
SplUfafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 14

Abrahamu alikuwa mtoaji mzuri sana wa fungu la kumi ni kama desturi ya jamii yao kwa wakati huo.

Ufafanuzi wa kitabu cha Mwanzo 14 by Enock Mlyuka

Vita vya kwanza vya wafalme, ufalme mmoja kupigana na falme nyingine na ufalme ulioshindwa vita unalazimika kutumikia taifa lililoshinda.

1.Ruth alichagua eneo kwa uzuri lakini hakuchagua kwa usalama mwisho wa siku kupokonywa eneo lake.

2. Abrahahamu alijipanga kivita na pia aliwafundisha familia yake namna ya kukabiliana na mashambulizi.

3.Abrahamu alikuwa mtu wa kusamehe na kuachilia.

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Write Your Own Review
You're reviewing:Ufafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 14
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.