Ufafanuzi wa kitabu cha Mwanzo 15

TZS 3,000.00
In stock
SKU
SplUfafanuzi wa kitabu cha Mwanzo 15

Ahadi ya Mungu kwa Abrahamu watu wote watapokea wokovu kupitia yeye.

Ufafanuzi Wa kitabu cha Mwanzo 15 By Enock Mlyuka.

1.Katika sura hii tunaangalia agano la Mungu kwa Abrahamu. Abrahamu hakufanikiwa kupata uzao aliweka imani ipo siku atapata mtoto kwa msingi huo Mungu alimwambia Abrahamu kutafuta wanyama ambao wanaweza kufanya nao maagano kisha nuru ya mwanga wa mwenge na moshi ulitokea kuonesha kwamba ni ishara ya uwepo wa Mungu.

2.Abrahamu alipokea jambo hilo kwa imani.

3.Ili kutimia kwa agano hili linahitaji uvumilivu na subira.

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Write Your Own Review
You're reviewing:Ufafanuzi wa kitabu cha Mwanzo 15
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.