Ufafanuzi wa Kitabu cha Mwanzo 2 by Rev Dr Enock E Mlyuka

TZS 3,000.00
In stock
SKU
SplUfafanuzi wa Kitabu cha Mwanzo 2 by Rev Dr Enock E Mlyuka

Kuanzishwa kwa taasisi ya ndoa ni kusaidiana katika majukumu mbalimbali katika ndoa kila mmoja wao kutambua wajibu wake kwenye ndoa.

Ufafanuzi wa Kitabu cha Mwanzo 2 by Rev Dr Enock E Mlyuka

Somo hili linafundisha kuanzishwa kwa taasisi ya ndoa Bwana Mungu akasema si vyema mtu huyu aishi peke yake ntampa msaidizi wa kufanana naye mtu huyu ni Adamu aliletewa ubavu wake ambaye ni mwanamke aiitwaye Eva. Ndoa za jinsia mmoja ni batili kwake Mungu mwanamke aliumbwa kuwa mpenzi au mwenzi kwa mwanaume Mungu alikusudia mwanamke na mwanaume wasaidiane katika majukumu ya kwenye ndoa.

Kanuni tatu za ndoa ya kwanza ni kuacha, ya pili ni kuambatana, ya tatu kuwa mwili mmoja

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Write Your Own Review
You're reviewing:Ufafanuzi wa Kitabu cha Mwanzo 2 by Rev Dr Enock E Mlyuka
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.