Ugaidi wa Umbea na Majungu na Mchg Dkt. Enock E. Mlyuka

TZS 3,000.00
In stock
SKU
SplUgaidi wa Umbea na Majungu na Mchg Dkt. Enock E. Mlyuka

Umbea na majungu wivu, husda, na chuki hutokea kwa kutothamini wala kujali kazi za wengine katika jamii.

Ugaidi wa Umbea na Majungu na Mchg Dkt. Enock E. Mlyuka

Umbea na majungu ni ugaidi unaoweza kujeruhi watu wengi katika familia na jamii kwa ujumla, umbea na majungu pia ni kupoteza imani na upendo kwetu na kwa watu wengine, huvunja uhusiano baina ya watu na marafiki lakini pia husambaratisha mahusiano ya familia na jamii.

More Information
Seller MLYUKA BOOK STORE
Write Your Own Review
You're reviewing:Ugaidi wa Umbea na Majungu na Mchg Dkt. Enock E. Mlyuka
Your Rating
Copyright © 2023 - 2024 Mahali Sokoni Trading Company Limited. All rights reserved.